Popular Posts

Tuesday, September 20, 2011

Miss Tanzania wa kwanza Mwaka 1967

Miss Tanzania wa kwanza akipita ukumbini kweye bwalo la kuogelea ndani ya Kilimanjaro Hotel Mwaka 1967. Anaitwa Theresia Shayo. Urembo bongo haukuanza karibuni (1990's) ulianza enzi hizooo... 1960's...

No comments: