Popular Posts

Friday, September 7, 2018

The Chinese city where men have 'three girlfriends because there are so many women'


For some it may be classed as 'three-timing', but in one Chinese city having three girlfriends is apparently seen as the norm.
One man from the city of Dongguan, in China’s Guangdong province, has even told media it would be “embarrassing” to have only one girlfriend.
The polyamorous attitude is down to a huge gender imbalance in the city. The population disparity is reportedly 89 men for every 100 women because local bosses in Dongguan - a centre for manufacturing - shun male employees for more reliable female workers.
KWA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA...

Tuesday, December 6, 2016

Ze_city... Hipo Hop Artist, Rapper and Singer.


Real Name : Haifa Mapili

DOB : 27th Nov

Lives at Sala Sala, DSM.
Education : B.A (C.B.E)
Songs out : PAYDAY and TATAKELE
Upcoming Project : Plenty and very promising

Friday, September 2, 2016

Huddah Monroe...





This is UNACCEPTABLE and should be FULLY CONDEMNED WORLD-WIDE!

Hii pamoja na kwamba ni zamani, bado nahisi uchungu mkubwa sana kama imetokea jana. Nawasihi ndugu zangu kwenye yafuatayo:-
1. tujiheshimu na kupendana wenyewe
2. tusomeshe watoto wetu
3. tujenge uchumi wetu na tujitegemee

namna pekee ya kuheshimiwa na watu hawa ni kujikomboa kutoka kwenywe umaskini, kujitambua, kuheshimiana na kupendana kwa sisi waafrika. Natamani kuwaona wanangu na hasa jamii nzima ya kiafrika ikiheshimika sana na kufikia hatua wazungu wachukue ushauri wetu!

kwa viongozi wanaong'ang'ania madaraka, wosia wangu kwao wawaamini wananchi wenzao, wakubali maamuzi ya wananchi na watoe ushirikiano. hili ni eneo lingine linalofanya tudharaulike sana!



Wednesday, September 9, 2015

POSE....



 MBUMBA... Hapana chezeya!

 Kuku wanavunja tenga... hatareee!

 Dada akiwa kazini.... big up sana. 
 What a pose... above and below... APENDEZA...


 Mmmh!