Al Jazeera goes to the neighbourhoods of the nation's capital where long time black Washingtonians question their future in a city with centuries of rich African American past.
Popular Posts
-
Wife goes to supermarket, sees m e n's briefs on sale. She buys a dozen of the same colour. Goes home and gives hubby. Hubby protests...
-
Mtoto wa kiume ni wa kiume tuu... tangu utoto utaona tabia zake. sasa hapo kwenye sanamu la dukani anachungulia nini?????
-
kama wewe ni mzazi au mlezi basi yakubali majukumu yako na uyazingatie... si haki na haipendezi kumbambika mtoto mdogo kiasi hichi majukumu ...
-
wapo watu, sijui ni kwa nini hasa. Lakini wakimaliza haja zao hawaoshi mikono! Wengi ni akina baba... sasa haya masinki ni kiboko yao. Hapo ...
-
The marriage of an 80 year old white man and a 20 year old white woman was the talk of the town. After being married a year, the couple we...
-
Man went to a pub with his wife. When he left for the counter a prostitute approached his wife & whispered "DEMAND CASH B4 SEX,...
-
Ukijizoesha kuangalia picha nzuri nzuri kama hizi, hasa 'stress' za maisha zinapungua...
Thursday, September 30, 2010
Washington DC's African American population is in decline.
Al Jazeera goes to the neighbourhoods of the nation's capital where long time black Washingtonians question their future in a city with centuries of rich African American past.
Friday, September 24, 2010
Nauliza wadau...
Thursday, September 23, 2010
Todays JOKE... "JUST FOR LAUGHS"
Guest: Excuse me sir; may I have your contact no.
Luo: Which one; Landline, Tigo, Zain, Telkom wireless, TTCL mobile,
Guest: Tigo Sir
Luo: Office or Home?
Guest: Home
Luo: The one in Black Berry, Samsung, Siemens, Motorola, Nokia or Sony Erickson?
Guest: Any will do for me sir
Luo: You are ok with Nokia!
Guest: Yes Sir.
Luo: Nokia Twin Sim or Single Sim?
Guest: Any will do for me sir
Luo: You are ok with Twin Sim!
A Luo: Post paid or Pre-Paid?
Guest: Sir you better just give me your email... ehh
Luo: No problem my dear; now which one do you prefer; yahoo.com, gmail, .co.tz, or .co.uk?
Guest: Sir lets stop it there, I'll always come to see you whenever I need your attention.
Luo: You are at Liberty my dear to choose how you contact me; but will you be coming to my office, residence or in the restaurant?
Guest: Eih Yawa Bye
Na bado, Go down
How Luos call them....
Gardener - Landscape Executive and Animal Nutritionist
House Maid - Domestic Operations Specialist
Typist - Printed Document Handler
Messenger - Business Communications Conveyer
Window Cleaner - Transparent Wall Technician
Temporary Teacher - Associate Tutor
Tea Boy - Refreshments Overseer
Garbage Collector - Public Sanitation Technician
Watchman - Theft Prevention and Surveillance Officer
Thief - Wealth Distribution Officer
Driver - Automobile Propulsion Specialist
Receptionist - Office Access Control Specialist
Cook - Food Preparation Officer
Bartender - Certified Liquor Specialist
Housewife - Permanent Secretary- Home Affairs
Ai yawa! This is living!!!
Wednesday, September 15, 2010
Wachaga nao...
Tuesday, September 14, 2010
Inatokea bongo pekee....
While on one of his shifts, a lady approached him and asked if they had peach jam to which he bluntly replied, 'Out of stock' At this, the lady immediately turned to leave the shop in disgruntlement.
Next, came in another lady who asked for toilet paper and Chinga politely replied, 'I am sorry ma'am, we do not have any toilet paper right now but you could try carbon paper, manila paper or sand paper which are in stock!'
Tuesday, September 7, 2010
Useful Sermon
Finally, he decided that he'd go to church on Sunday
and sit at the back. During the service he would
sneak out and grab a hat from the rack at the front door.
On Sunday, he went to church and sat at the back. The
sermon was about the 10 commandments. He sat
through the whole sermon and instead of sneaking out he
waited until the sermon was over and went to talk to the
minister.
"Father, I came here today to steal a hat to replace the
one I lost. But after hearing your sermon on the 10
Commandments, I changed my mind."
The minister said, "Bless you my son. Was it when I
started to preach 'Thou shall not steal,' that changed
your heart?"
The man responded, "No, it was the one on adultery.
When you started to preach on that, I remembered
where I left my hat."
Monday, September 6, 2010
Friday, September 3, 2010
Mbwa kala mbwa... Furaaaahii day!
"I really should have mentioned this earlier, but I'm actually a hooker and I
charge $20 for sex." The man reluctantly paid her, and they did their thing.
After a cigarette, the man just sat in the driver's seat looking out the window. "Why aren't we going anywhere?" asked the girl.
"Well, I should have mentioned this before, but I'm actually a taxi driver, and
the fare back to town is $25..."
Monday, August 23, 2010
Mfalme na wake zake...
THESE amazing pictures show the moment Swaziland’s former Justice Minister Ndumiso Mamba was caught by state security agents holed up in a hotel room with King Mswati III’s 12th wife, Queen Nothando Dube.
Mamba appeared to have sensed approaching danger before dozens of security agents stormed the Royal Villas, a luxury hotel owned by the polygamous 42-year-old King about 10km west of his Lozitha Palace.
In a desperate attempt to make himself disappear, Mamba – wearing a brown suit -- burrowed into the base of a bed and slid in.
The red-faced childhood friend of the King was ordered out, head first, by the security agents who are believed to have been investigating his sex trysts with the 12th of the King’s 14 wives.
Mamba was immediately arrested and faces the odd-sounding charge of “trespassing into another man’s home”. He is expected to be finally exiled from Swaziland.
It has been claimed that Dube wore an elaborate disguise so she could enjoy clandestine meetings with Mamba, who is married. The queen is said to have dressed in military fatigues to leave the royal palace without arousing suspicion.
A palace source was quoted by the South African Press Association as saying: "For many months, the inkhosikati [queen] would dress in an army uniform whenever the king was not around.
"She allegedly got into her room and changed into her uniform and walked straight to the gate and no one bothered to ask where was this soldier going. In no time a car was there to pick the ‘officer’ up and whisked her to Royal Villas.”
But the risky liaison soon attracted the attention of Mswati’s agents who made their move while he was out of the country in Taiwan.
Tuesday, August 10, 2010
The Wisdom of an Older Man...
'Excuse me; I can't seem to find my wife. Can you talk to me for a couple of minutes?'
The woman, feeling a bit of compassion for the old fellow, said, 'Of course, sir. Do you know where your wife might be?'
'I have no idea, but every time I talk to a woman with tits like yours, she appears out of nowhere….'
Monday, August 9, 2010
Hii kitu haina urafiki..!!!
Kama kufuli la kichwani limeshindikana hayo mengine ni bure tu!!!! Soma hii...
Juma alimua kusafiri kwenda mbali. Akamvika mkewe chupi ya chumyenyea kufuli. Ufunguo wa chupi alimwachia rafiki yake mkubwa na kipenzi kwa maelezo kuwa asiporudi baada ya miaka minne amfungulie mkewe ili aishi maisha ya kawaida.
Juma alianza safari yake. Muda si mrefu kabla hajafika mbali akamwona rafiki
yake kipenzi anamkimbilia…. akasimama kumsubiri kujua kulikoni.
Akauliza: Vipi rafiki yangu? Rafiki akajibu; umenipa ufunguo ambao si wenyewe!!!
Thursday, July 29, 2010
There are three (3) types of women according to men's perspective.
1. HOUSEWIVES
Advantages
* She stays home and takes care of kids and household chores.
* She is always good in bed because she is never tired.
* Will always cook a good meal (NO NANDOS, Steers, etc)
Disadvantages
* She behaves like your mother when you come home late.
*When ever there?s a misunderstanding, she is quick to say you
are using her (..but its quite the opposite ( confusion at its best!!! )
* She bitches when you watch TV too long.
* You can't play your music loud.
2. PROFESSIONAL / MILLENNIUM / WORKING - LADIES
Advantages
* She does not need your money
* She can lend you her car (latest model BMW/Volvo), u can boast to your friends that u have a connected Cherrie!! Pssst!!!
*You can even date other women with her car!!!
* She has a credit card and petrol coupon for u when u r down and out.
Disadvantages
* She is generally BAD IN BED. Its either she is too tired or doesn't
just feel like it and u dont have to wonder why we keep more than one of those at a time!!!.)
*You'll have take-away for dinner 6 times a week (AT LEAST!!)
* She thinks she owns you; more than your mother does sometimes.
* She hates your friends; u can't even go to the stadium once a month.
* She always tells you to get a better job, car, house etc. (the list
goes on, COZ SHE MOST LIKELY EARNS MORE THAN YOU DO!!!)
* You won't have a life with this one. They have no respect; they will insult you / your mother in English and French....
3. GOLD DIGGERS (Poly Students, College girls, Campus chicks, High School students etc etc - generally referred to as Weekend Accessories)
Advantages
* VERY VERY GOOD IN BED (Holy Benjamin - Lord have mercy!!!wow!).
* She makes sure she leaves you penniless. (Airtime, lunch, hair do, cosmetics, etc!!!) And then spends the money on her "real boyfriend"
* She tells you she is on a pill, but she is pregnant within 3 months of the relationship.
*When ever there?s a misunderstanding, she is quick to say you are using her (..but its quite the opposite ( confusion at its best!!! )
* She sues for maintenance costs, especially if you are prominent and takes the story to the Sani, Ijumaa, Kasheshe ....
* She is sexy isn't she..& that makes many men want them!!??!! DAMN!!!
Wednesday, July 28, 2010
Ni Robo Tu Ya Wanaume Wa Dar Wenye Mbegu Zenye Rutuba
Mara nyingi lawama za kukosa mtoto katika familia zimekuwa zikielekezwa kwa
mwanammke kutokana na wanaume wengi kutokuwa na ujasiri wa kujitokeza kupima rutuba zao. Mazingira ya kazi, Mtindo wa maisha na hata hata kukaa kwa muda mrefu kwenye chumba chenye mvuke ni baadhi ya sababu zinazochangia wanaume kupungikwa rutuba za mbegu za uzazi.
Katika jiji la Dar es Salaam pekee, inaaminika kuwa ni asilimia 24.9 tu ya
wanaume wa Dar es Salaam walio na mbegu za uzazi zenye rutuba, hivyo, wenye
uwezo wa kurutubisha yai la mwanamke na hivyo basi, mimba kutokea.
Utafiti huo umefanywa na Idara ya Jinikolojia ya Hospitali ya Taifa Ya
Muhimbili.
Thursday, June 17, 2010
Wednesday, June 16, 2010
Friday, June 11, 2010
All that Diego Maradona wants is 'to get luxury toilets' at World Cup 2010
According to the South African Times, the Argentine Football Association's requests start out simple enough. All the rooms are to be painted white and six PlayStations are required for the players. The decadence starts to show when it comes to the food requests, though. They include:
— Ten hot dishes a day as well as 14 different salads for every meal;I'm assuming the 24-hour ice cream is for Maradona, but why would they possibly need 14 different salads for every single meal?! I don't think I could even name 14 different salads.
— Three different pasta sauces with each meal and at least three puddings;
— A braai once in three days; and
— Ice cream available all day.
On top of that, the center also had to frantically replace the standard sinks and toilets in the two bathrooms reserved for Maradona last Thursday at the request of the AFA.
The Pretoria center's chief operations officer, Colin Stier, said: "They felt that it (the basins and toilet bowls) were not up to Maradona's standards."And those standards are apparently very high. The Telegraph shares details on Maradona's new toilet seat of the future:
The E-Bidet features a heated seat, a warm air blow-dryer and front and rear bidet wands. It sells for 450 dollars (358 euros) at online retailer sandman.com, which bills it as "the world's best toilet seat".How could you ever endure a cold, wandless toilet seat again after you've experienced that?
For comparison's sake, the Times says that the Brazilian team requires "hot hot coffee, hot hot coffee and hot hot coffee," plus "a lot" of cookies and no chocolate where they're staying.
The Slovakians and North Koreans are keeping the requests simple, too:
Only two items feature on the Slovakians' wish list — two table tennis tables and an electronic dartboard.[...]Meanwhile, the Italians are bringing their own pasta, of course, and the Mexicans are bringing their own priest.
The North Koreans had only two simple requests — Korean rice with all meals, and the exclusive use of an entire floor of the Protea hotel in Midrand.
I'm sure that once everyone hears about those Maradona toilets, they're all going to want them, though.
HOUSE BOY: BAKARI
Bakari as usual, takes a mouthful and add water to replace what he drank However, soon after he added water the pastis became milky.
When the Boss came back and noticed it, he was sure he had managed to nail Bakari as thief!!! At that same moment Bakari realized he was in trouble and decided to go into the kitchen.
The Boss told his wife that 'Mary, you will see today,he will be obliged
to acknowledge'. So he calls Bakari.
He shouted: 'Bakari!'.
Bakari answered: 'Yes, Boss'.
Boss: 'Who drank my pastis?'.
No answer.
The Boss reiterated his question: 'Who drank my wine?'Still;
No answer.
Then the Boss went to fetch Bakari from the kitchen and says to him:
You insane or what? Why when I call you, you say yes boss' but when I
ask you a question you don't
answer me?
Bakari retorted that 'It is that boss, when you are in the kitchen there, you don't hear anything at all, except the name.
Then to prove that Bakari lies, the Boss says to him: 'You stay beside Madam here, me I go in the kitchen, and you ask me a question '. Bakari accepted and the Boss went in the kitchen.
Bakari shouted: 'Boss'.
He answered: 'Yes, Bakari'.
Bakari continued: 'Who goes in the maid bedroom when the Madam is not
here? '.
No answer.
Bakari shouted again: 'Boss, I say who made the maid pregnant?'
No answer.
Bakari shouted again (third time): 'Boss, I say who made the maid
pregnant?'
The Boss returns from the kitchen running and says, Bakari; it is true, you are right. When one is in the kitchen, one does not hear anything, only the name!
Thursday, June 10, 2010
cheka unenepe...
--------------- Just remove the damn battery from the clock and Enjoy life!
2. Expecting the world to treat u fairly coz u r a good person is like
--------------------------expecting the lion not to attack u coz u r a vegetarian. Think about it.
3. Beauty isn't measured by outer appearance and what clothes we wear,
----------------but what we are inside. So, try going out naked tomorrow and see the admiration!
4. Don't walk as if you rule the world, walk as if you don't care who rules
the world! Now that's Attitude...!!!
5. Every lady hopes that her daughter will marry a better man than she did
-----------------------and is convinced that her son will never find a wife as good as his father did!!!
6. He was a good man. He never smoked, drank & had no affairs.
When he died, the insurance company refused the claim..
-----------------------------They said, he who never lived, cannot die!
7. A man threw his mother in-law in a pond of Crocodiles?
----------------------He's now being harassed by the Animal Rights Activists for being cruel to the Crocodiles!
8. So many options for suicide: Poison, sleeping pills, hanging, jumping
from a building, lying on train tracks,
---------------------------but we chose Marriage, slow & sure!
9. All desirable things in life are either --------------------------- illegal, banned, expensive or married to someone else!
10. "Anyone who has never made a mistake has never tried anything new."
Wednesday, June 2, 2010
Kashfa Ktk NDOA; kina dada, punguzenu kubwabwaja!!!!
Tafadhalini sikieni hiki kisa!!!!!!!!!!
Mama alikuwa na watoto watatu na hana MUME (single parent). Mtoto wa kwanza ni wa kiume na ana baba yake, wadogo wawili ni wa kike na wana baba yao. Mama kawasomesha watoto wake vizuri kwani wote wana shahada za uzamili (Master Degrees) ktk fani tofauti-tofauti.
Kaka alioa mdada BONGO FLAVOUR na mapenzi yao yalikuwa mazuri sana hadi pale walipogombana na mke kuamua kumkashfu (labda kumweleza ukweli), kashfa aliyodhani kuwa itamuumiza mwenzake hadi kumoyo na maini. Mke alimwambia mume "tatizzo la watu ambao hawakulelewa na kina BABA wanaoelewa hawajui mapenzi kabisa, hata uwafanyie nini hawawezi ku-appriciate.
Mume kusikia hivyo aliamua kutofanya lolote zaidi ya;
-Kumuachia gari la kuendea kazini ya yeye kuanza kupanda dalala.
-Kula chakula nje ya nyumba yao ingawa nyumbani wanapika
-Hela ya chakula na matumizi ya nyumbani inaachwa kama kawaida
-Hakuna maongezi wa mama yake maongezi
-Wanalala kitanda kimoja lakini hakuna mawasiliano yeyote
-Mke haruhusiwi kumfanyia mume vitu ambavyo katika hali ya kawaida anatakiwa kuwa anamfanyia kama kufua na kupiga pasi. Mume alikuwa akifanya mwenyewe au kwa dobi na vitu kama hivyo.
Mke alianza kupungua kwa mawazo na kujaribu kumrai mume wake amsamehe lakini mume alikuwa mara zote akigoma. Mambo yalipochacha mke alijifunga kibwebwe na kumvaa mama-mkwe na kumuelezea kila kitu. Bahati mbaya mamamkwe naye akija juu kwa kutukanwa kuwa ni malaya na hivyo kumfukuza na kutomsaidia mkamwana wake.
Mke aliamua kufunga safari kwenda Dodoma kwa Mjomba mtu aliyekuwa anasimama kama Baba na alimuaga mume wake na kupatiwa nauli ya kwenda huko. Ashukuriwe Mungu kwani Mjomba alikuw mwelewa na kukubali kumsaidia mkamwana wake. Mjomba aliongea na dadaye na kuyaweka sawa kabla ya kumvaa mume mtu.
Wanandoa hao kwasasa amani imerejea ktk nyumba. Tatizo ni kuwa haijulikani kama kweli amani hiyo ina upendo ule wa awali. UPENDO ILHALI WEWE NI MWANAHARAMU?
AMEKWISHAANZA! Jose Mourinho...
Thursday, May 27, 2010
cheka unenepe...
A man was so jealous of his newly born baby that he put poison on the wife's nipples while she was asleep. The next day, their driver died of poisoning.
NO.2
A man is dying of cancer, but keeps telling people he is dying of AIDS. His son asked Dad why? He answered so that when I am dead, no one will sleep with your mum.
NO.3
A lady lost three panties in her house and blamed her maid in front of the husband. Maid said sir you are my witness you know I never wear panties.
Wednesday, May 26, 2010
Monday, May 24, 2010
Wachina noma...
How old do you think I am?
Before leaving, he says to the sales clerk, "I hope you don't mind me asking, but how old do you think I am?"
"About 35," was the reply.
"I'm actually 47," the man says, feeling really happy.
After that, he goes into McDonalds for lunch and asks the clerk the same question.
The reply is, "Oh, you look about 29".
"I am actually 47."
Later, while standing at a bus stop, he asks an old woman the same question.
She replies, "I am 85 years old, and my eyesight is going. But when I was young, there was a sure way of telling a man's age. If I put my hand down your pants and play with your balls for 10 minutes, I will be able to tell you your exact age."
As there was no one around, the man thinks, What the hell and lets! her slip her hand down his pants.
Ten minutes later, the old lady says, "Okay, it's done. You are 47."
Stunned, the man says, "That was brilliant. How did you do that?"
The old lady replies, "I was behind you at McDonalds."
Enzi hizo...
zimbwe huku mohamed chuma (shoto) na nahodha
abdulrahmani wakishuhudia. nyuma yao ni kitwana manara 'popat'
na abdallah king kibaden mputa. hapa staazi walicheza vifua wazi
na sudan baada ya kukosekana jezi. mwalimu nyerere aliyehudhuria
mechi hii na mgeni wake hakuonekana tena mpirani toka siku hiyo....
Thursday, May 20, 2010
Thursday, May 13, 2010
Monday, May 10, 2010
Friday, May 7, 2010
Thursday, May 6, 2010
wanaume wa shoka...
Umaru Mussa Yar'Adua Amefariki
Marehemu Yar'Adua atazikwa leo siku ya Alhamisi mchana katika kijiji cha Katsina nchini Nigeria.
Yar'Adua hakujishughulisha na mambo ya siasa kama raisi wa Nigeria tangu mwezi wa kumi na moja alipokuwa ameenda kutibiwa nchini Saudia Arabia. Alirudi chini Nigeria mwezi wa pili lakini alishindwa kuendesha shughuli za kiserikali kutokana na kuumwa.
Msaidizi wa Raisi Mh. Goodluck Jonathan atashikilia madaraka mpaka mwezi wa nne, mwaka 2011 utakapofanyika uchaguzi mwingine.
Marehemu Yar'Adua alikuwa ni msomi wa kwanza kutoka cho kikuu kuchukua madaraka, alishinda uchaguzi mwezi wa nne mwaka 2007.
Yar'Adua alipewa jina la "Baba Go-Slow", kutokana na utendaji wake wa kazi.
Historia yake.
Yar'Adua, alizaliwa katika mji wa Katsina mwezi wa nane tarehe 16 mwaka 1951, alikuwa muislamu.
Ametokea katika familia yenye kufuata mchakato wa kisiasa. Baba yake alikuwa waziri na kaka yake alikuwa mtu wa pili katika serikali ya Raisi Obasanjo's toka mwaka 1976 mpaka 1979.
Alisoma katika chuo kikuu cha Ahmadu Bello University Zaria kutoka mwaka 1972 mpaka 1975 masomo ya Chemist. Amesomea masomo ya MSc toka 1978-1980.
Alianza kusomesha Chemistry kabla ya kuingia katika biashara mwaka 1980s alikuwa mkurugenzi katika kampuni ya Sambo Farms Ltd katika mji wa Katsina.
Alichaguliwa kuungoza mji wa Katsina 1999 na kuchaguliwa tena kuongoza mji huo mwaka 2003. Maremu Yar'Adua alioa mwaka 1975 alijaaliwa kupata watoto saba.
Tuesday, May 4, 2010
Monday, May 3, 2010
TRANSSEXUALISM...
Wagonjwa wa Transsexual hufikia kiwango cha kutaka kubadilishwa maumbo yao, hata kwa njia ya operesheni au kwa kutumia madawa yanayoweza kubadilisha hali zao za asili.
Kule Ulaya na Marekani, na sehemu nyingine zinazofuata nyayo za "maendeleo", ambako watu wamekubuhu katika fani ya ufuska, baadhi ya watu wamediriki kwenda hospitali na kufanyiwa operesheni kuondolewa sehemu zao za viungo zinazowanasibisha na jinsi yao asilia.
Katika jamii yetu, japo hakuna hospitali za kubadilisha jinsi za watu, wapo wanaume wanaoonyesha silka za kike katika maisha yao. Mfano hai ni pale tunapowaona watu waliopewa majina ya "anti" fulani, au wale wanaoshiriki katika ngoma za "kibao kata". Hawa ni wagonjwa mahututi.
Maradhi haya hupenyeza vile vile hadi kuingilia majukumu ya kijinsia. Kwa mfano, katika jamii yoyote ya watu waungwana, mahusiano ya ndoa huwa baina ya watu wenye jinsia tofauti, lakini tunasikia na kusoma kwenye vyombo vya habari kwamba kule Ulaya, kwenye maendeleo wanaume kwa wanaume wanafunga ndoa, tena Kanisani; na vile vile mahusiano ya wanawake kwa wanawake (Lesbianism) ni jambo la kawaida lililopewa kibali na mamlaka ya nchi.
Katika hali ya kimaumbile, viumbe hutofautiana kijinsia katika hali tatu tofauti, ambazo kitaalamu zinaitwa gender. Kuna viumbe vyenye hali ya kiume (Masculine gender), vyenye hali za kike (feminine gender) na vyenye hali haidi, yaani isiyo ya kike wala ya kiume (neutral gender). Transsexualism ni hali ya mtu kujibadilisha (kifikra au kifizikia) kutoka katika hali yake ya kijinsia ya asilia, na kujifanya kuwa na hali nyingine. Hivyo, hata kujitoa katika hali ya kike au ya kiume na kujiweka katika hali haidi (isiyo ya kike wala kiume) pia ni Transsexualism.
Wapo wanawake, kwa mfano, waliotoka katika hali yao ya kike (feminine gender) na kuwa haidi (neutral). Hawa wamefikia hali hii baada ya kuielewa vibaya dhana ya "ukombozi wa mwanamke".
Dhana hii ya "ukombozi wa mwanamke" ni dhana nzuri, kwani ni kweli wapo wanawake wengi wanonyanyaswa, kuonewa na kudhulumiwa kutokana na mila na mienendo ya jamii zao, lakini dhana ya "usawa" imewafanya wanawake wengi kutaka kuwa "sawa" na wanaume hata kimaumbile.
Jamii za kinyonyaji zimechukua fursa (advantage) ya propaganda ya "usawa" wa wanawake na wanaume kwa kumtaka mwanamke amenyeke katika kazi sawa na wanaume bila ya kujali maumbile yake. Sasa hivi katika jamii yetu kumeletwa miradi mbalimbali, eti ya kuwakomboa wanawake, na kumeenezwa vitengo vinavyoshughulikia "mitandao" ya kijinsia, lakini ukweli wa mambo ni kwamba nchi hizo hizo zinazotaka kuleta ukombozi ndizo hizo zilizoleta ukoloni na zinatuletea ukoloni mamboleo, na ndizo hizo hizo zinatuletea dhana ya "ukombozi". Mimi sioni ukombozi unaofanyika zaidi ya kuwatia wanawake maradhi, hasa haya ya kisaikolojia kama vile Exhibitionism (wendawazi), Lesbianism (usagaji) na haya maradhi ya wanawake kutaka kuwa sawa na wanaume ambayo tunayaita kichaa cha kijinsia. Maradhi yanayosumbua nchi zao, na kuziparaganyisha familia zao wanaya leta huku kwetu.
Sehemu nyingi za kikazi zilizokuwa mahsusi kwa wanaume sasa hivi zimeshikwa na wanawake, na jamii hizi zianzowafanyisha kazi wanawake sambamba na wanaume, chini ya nembo ya "usawa", hujisifia kuwa na idadi kubwa ya wanawake maofisini na viwandani, lakini watu, hata wanawake wenyewe, wamesahau kuwa mwanamke ana kazi kubwa ambayo katika Uislamu huhesabika kama Jihaad.
Dunia leo ina mamilioni na mamilioni ya watu. Kila mwanaadamu unayemuona anatembea katika mgongo wa ardhi ni lazima alimtesa mwanamke. Mwanamke alimbeba binaadamu huyu tumboni mwake, kwa tabu na mashaka makubwa, kwa muda wa miezi tisa, na siku ya kujifungua, mwanamke alipata uchungu mkubwa unaosemekana kuwa unakaribia uchungu wa kutoka roho (na wanawake wengine hufa kwa uchungu huu).
Baada ya hapo, mtoto anakuwa akitegemea kumnyonya mama yake kwa zaidi ya mwaka mmoja. Huyu mwanamke pia anakuwa mwalimu wa kwanza wa binaadamu. Ukifikiria yote haya ndipo inakuwepo hoja kuwa, mwanaume, ambaye hapati tabu katika mahusiano yake na mwanamke, zaidi ya raha za kimapenzi, inabidi yeye ndiye ahenyeke kwa uchungu na ugumu wa kazi za uzalishaji mali katika jamii, lakini mtu anang’ang’ania wanawake wawe sawa na wanaume katika uzalishaji mali, wakati yeye mwanaume hawezi kuwa sawa na wanawake katika uzalishaji watu.
Kwa vile wanawake wamevamia uwanja wa uzalishaji mali sawa na wanaume, basi wengi wao wanaona iko haja ya kuepuka jukumu lao la kuzaa watoto, ili waweze kufanya kazi kwa nafasi, sawa na wanaume. Basi wanawake hawa hukwepa uzazi (asili yao) kwa kuzuia mimba, kunyofoa mimba au kuua watoto, maana wasiposhika mimba kama wanaume wasivyoshika mimba ndio watakuwa wachapakazi wazuri. Matokeo yake, wanawake wanatoka kwenye uanauke na kuwa hawawezi kuwa wanaume, wanabakia kuwa haidi (neutral).
Kwa vile wanaume nao eti wanachangia sana katika "kuharibu" ufanisi wa wanawake, nao wanapigwa propaganda hadi wanakubali kufungwa kizazi. Utakuta mwanaume anafunga kizazi, eti kwa kuogopa "kumuathiri" mke wake. Basi mwanaume huyu naye huenda hospitali, akaonyoosha miguu, na wanaume wenzake wakamuondoa uwezo wake wa kuzaa. Anakubali kuwa haidi. Mwanaume anayejitoa uanaume kwa kuogopa kumzalisha mwanamke, ni wa ajabu sana. Kwa vile anajibadilisha kuwa haidi, basi na yeye anakuwa ni Transsexual, kwa vile kajitoa silka ya uume (masculinity) akajitia au akatiwa uhaidi (neutrality).
Kuna suala la kuwa na mke zaidi ya mmoja, ambalo pia hupigiwa kelele. Eti watu hung’ang’ania usawa, mume mmoja kwa mke mmoja (one-to-one-function). Suala la kuzingatia hapa ni kwamba, kuhusu uzazi, mwanamke ana uwezo wa kushika mimba ya mwanaume mmoja tu kwa mwaka mzima (miezi tisa ya kubeba mimba na angalau miezi mitatu ya kunyonyesha kabla ya hali ya kubeba mimba nyingine haijawa tayari). Lakini mwanaume, katika mwaka huo mmoja ana uwezo wa kuwapa mimba wanawake wengi mno. Mwanaume mwenye nguvu anaweza kuwapa mimba hata wanawake watatu kwa siku moja.
Lakini tumchukue mwanaume dhaifu, ambaye anaweza kumpa mimba mwanamke mmoja kila siku, ambaye yuko katika hali ya kuweza kushika mimba. Kwa hiyo, kwa wiki anaweza kuwapa mimba wanawake saba. Kwa mwezi wanawake 28. Kwa hiyo kwa mwaka, kama kila mwanamke atakayekutana naye atakuwa katika siku muafaka, ataweza kuwapa mimba wanawake 330 (28 mara miezi 12).
Hivyo kinadharia, kama kungekuwa na kazi maalum ya kuzaa ili kuijaza watu jamii fulani yenye hatari ya kutoweka, basi mwanaume mmoja anahitaji wanawake 330 kwa mwaka, wakati mwanamke mmoja anahitaji mwanaume mmoja tu kwa mwaka. Sasa kutaka mwanaume awe na mke mmoja tu, hata kama kuna sababu ya kuongeza mwingine, angalau mmoja ni kubadilisha jinsi ya mwanaume . Na hii ni kumgeuza Transsexual. Kimaumbile, mwanaume anahitaji zaidi ya mke mmoja, ibaki matashi yake tu na sababu nyingine za kiuwezo.
"Usawa" na uwepo, lakini tusibadili asili ya maumbile ya mtu. Shetani hupenda kuwashawishi watu wabadilike kinyume na Mwenyezi Mungu anavyowataka wawe, ndio maana akasema:
"Na nitawapoteza na nitawatumainisha na nitawaamrisha (ninavyotaka mimi) ... na nitawaamuru, nao watabadili umbile la Mwenyezi Mungu (alilowapa)..."
Qur’an 4:119
Waislamu tunatakiwa tuwe na msimamo wa Nabii Mussa, alipomjibu Firauni, kwa kumwambia:
"Mola wetu ni yule aliyekipa kila kitu umbo lake kisha akakiongoza (kufuata kinachoafiki umbo lake hilo)".















dubai1.jpg)











