Popular Posts
-
Miss Tanzania wa kwanza akipita ukumbini kweye bwalo la kuogelea ndani ya Kilimanjaro Hotel Mwaka 1967. Anaitwa Theresia Shayo. Urembo b...
-
Labda usivae nguo kabisa (kama ndege ya juu inavyopendekeza) au ukaguliwe (kama hapo chini)
-
Mom comes to visit her son Ernest for dinner........ who lives with a girl roommate Jane. During the course of the meal, his mother couldn...
-
Mtoto wa kiume ni wa kiume tuu... tangu utoto utaona tabia zake. sasa hapo kwenye sanamu la dukani anachungulia nini?????
Sunday, January 27, 2013
Tuesday, January 22, 2013
Wednesday, January 16, 2013
Jamaa kenda kwa Mwenyekiti wa serikali za mtaa kulalamika...
JAMAA: Mke wangu hataki kunipa unyumba hebu ongea nae, nimekuja nae.
MJUMBE: Hebu muite, we kaa nje ya ofisi niweze kumsikiliza
JAMAA: Poa mkuu
MJUMBE: Haya mama kunani tena huko mzee unamnyima unyumba?
MKE: Asubuhi naondoka nyumbani sina senti tano nachukua kibajaji mpaka
kazini nikimwambia dreva sina hela, ananiuliza sasa utanilipa badae au? Mi
nakubali au. Nakuwa hapo nimechelewa kazini, nikifika huko bosi anasema sasa
umechelewa nikufukuze kazi au? Mi nachagua au, jioni narudi nyumbani tena
mwenye kibajaji ananiuliza unalipa au? nakubali au, sasa nakuwa nimechoka mzee
akitaka namnyima.
MJUMBE; Dah hiyo stori ya kusikitisha, sasa tumwambie mumeo au?
Tuesday, January 15, 2013
Thursday, January 10, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)



















