Popular Posts
-
Wife goes to supermarket, sees m e n's briefs on sale. She buys a dozen of the same colour. Goes home and gives hubby. Hubby protests...
-
Real Name : Haifa Mapili DOB : 27th Nov Lives at Sala Sala, DSM. Education : B.A (C.B.E) Songs out : PAYDAY and TATAKELE Up...
-
Mtoto wa kiume ni wa kiume tuu... tangu utoto utaona tabia zake. sasa hapo kwenye sanamu la dukani anachungulia nini?????
-
Silly Larry........... Larry alipochoka kufanya kazi zake akazima taa, akambusu mkewe, akalala na usingizi mzito ukampitia. Mara ak...
-
kama wewe ni mzazi au mlezi basi yakubali majukumu yako na uyazingatie... si haki na haipendezi kumbambika mtoto mdogo kiasi hichi majukumu ...
-
wapo watu, sijui ni kwa nini hasa. Lakini wakimaliza haja zao hawaoshi mikono! Wengi ni akina baba... sasa haya masinki ni kiboko yao. Hapo ...
-
Sales lady: Sorry sir u can't smoke here. Man: But I bought the cigarette in this shop. Sales lady:...
Friday, September 30, 2016
Thursday, September 29, 2016
Thursday, September 22, 2016
Thursday, September 15, 2016
Friday, September 2, 2016
This is UNACCEPTABLE and should be FULLY CONDEMNED WORLD-WIDE!
Hii pamoja na kwamba ni zamani, bado nahisi uchungu mkubwa sana kama imetokea jana. Nawasihi ndugu zangu kwenye yafuatayo:-
1. tujiheshimu na kupendana wenyewe
2. tusomeshe watoto wetu
3. tujenge uchumi wetu na tujitegemee
namna pekee ya kuheshimiwa na watu hawa ni kujikomboa kutoka kwenywe umaskini, kujitambua, kuheshimiana na kupendana kwa sisi waafrika. Natamani kuwaona wanangu na hasa jamii nzima ya kiafrika ikiheshimika sana na kufikia hatua wazungu wachukue ushauri wetu!
kwa viongozi wanaong'ang'ania madaraka, wosia wangu kwao wawaamini wananchi wenzao, wakubali maamuzi ya wananchi na watoe ushirikiano. hili ni eneo lingine linalofanya tudharaulike sana!
Subscribe to:
Posts (Atom)












