Popular Posts
-
Mwandishi wetu, ZNZ. Binti mmoja mrembo wa kiasi anatafuta mpenzi, ni msichana wa miaka 22 anatafuta mpenzi wa kuishi ...
-
Jamaa alichukua simu ya GF wake, akaipigia ili aone ameseviwa kwa jina gani, alichokiona hakuamini. Alikuta jina la "MBWA KOKO JEUSI T...
-
!!..If a single teacher can’t teach all the subjects then don't expect a single student to learn and understand all subjects..!! ak...
-
WALIMU wa MAZOEZI: KERO KATIKA MAHUSIANO! Hapa jiran kuna Gym centre ambayo imekua ikihudhuriwa na wateja mara kw...
-
Hapa Bongo Land tunatania wahehe kwamba wanakula mbwa, huko kwa wenzetu si utani wala masihara... wana-bucha ya nyama ya mbwa kabisa, ten...
Friday, April 27, 2012
Thursday, April 26, 2012
Sunday, April 22, 2012
Monday, April 2, 2012
Today's JOKE...
Dereve
mmoja kwa jina MIKE alikuwa anampeleka boss wake Airport. Njiani Boss
alikumbuka kuwa amesahau document muhimu sana hivyo alimwamrisha Mike
amrejeshe haraka nyumbani aifuate hiyo document.
Walipofika nyumbani Boss alimkuta mkewe yuko bafuni anakoga na amejipaka sabuni usoni. Kwa mapenzi mumewe alifungua mlango wa bafuni na kumshika makalio na ndipo mkewe alivpojibu,
''MIKE ushamfikisha huyo mpumbavu airport kwa haraka hivyo. Usiwe na haraka tutakuwa na raha weekend yote hii kwani tutakuwa wote LAAZIZ wangu.
Mkewe boss akaona kimya akaona kulikoni?Aliosha uso wake na mara akamwona mumewe??
Jamani kilichoendelea mimi sijui…………..Unadhani safari iliendelea?
Walipofika nyumbani Boss alimkuta mkewe yuko bafuni anakoga na amejipaka sabuni usoni. Kwa mapenzi mumewe alifungua mlango wa bafuni na kumshika makalio na ndipo mkewe alivpojibu,
''MIKE ushamfikisha huyo mpumbavu airport kwa haraka hivyo. Usiwe na haraka tutakuwa na raha weekend yote hii kwani tutakuwa wote LAAZIZ wangu.
Mkewe boss akaona kimya akaona kulikoni?Aliosha uso wake na mara akamwona mumewe??
Jamani kilichoendelea mimi sijui…………..Unadhani safari iliendelea?
Subscribe to:
Posts (Atom)


