Mchango wako unahitajika sana wewe mwenye blogu na hata usiye na blogu ilikujenga muelekeo uliochangiwa na wengi na sio kikundi cha watu wachache.
Karibu uchangie, kosoa,kemea,shauri, ondoa, .... ilikupata muelekeo na jumuiya ya wanablogu Tanzania unayoweza kujivunia.
Kama unablogu tunaomba uweke tangazo la kuwafahamisha watu kuhusu ombi la mchango wao wa mawazo hapa ili liwezekuwafikia watu wengi.
http://blogutanzania.blogspot.com/
KARIBUNI WOTE!
Uongozi.
Popular Posts
-
Alfred S. S. Mosha (Kipoo) 3 rd March 1944 – 2 nd September 1994 Time flies, days go by… it’s like you were here only yesterday. But t...
-
Msigwa akimalizia samaki wake... ni nourmer! si mchezo... bora ukashuhudie...
-
Jamaa mwenye suti nyeusi ni kama anasema "Daamn, she looks F****n s**y" " A kiss to all..." Wamependeza....
-
Wale wataalamu wa kuiga bongo mpo? IGENI NA HII... ndio tutajua kweli wakali wa kuiga mpo...
-
Mom comes to visit her son Ernest for dinner........ who lives with a girl roommate Jane. During the course of the meal, his mother couldn...
No comments:
Post a Comment