Nakumbukia enzi zangu na wadauz pale Ilala, akina Emma Kuyamba, Deo Kipaka, Marehemu Jumbe, Juma Sanga, n.k (Mwenyezi Mungu azipumzishe roho zao mahali pema peponii, amina) ilikuwa sinia likutua tuu, nyama zote mkono wa kushoto, then shughuli inaendelea. Suala la usafi sijui nini, hiyo baadae... tumewapoteza wengi sana Pius Paul (R.I.P) na wengineo... DUH!
Popular Posts
-
JAMAA : Mke wangu hataki kunipa unyumba hebu ongea nae, nimekuja nae. MJUMBE : Hebu muite, we kaa nje ya ofisi niweze kumsikiliza ...
-
Jamaa alichukua simu ya GF wake, akaipigia ili aone ameseviwa kwa jina gani, alichokiona hakuamini. Alikuta jina la "MBWA KOKO JEUSI T...
No comments:
Post a Comment