Mchango wako unahitajika sana wewe mwenye blogu na hata usiye na blogu ilikujenga muelekeo uliochangiwa na wengi na sio kikundi cha watu wachache.
Karibu uchangie, kosoa,kemea,shauri, ondoa, .... ilikupata muelekeo na jumuiya ya wanablogu Tanzania unayoweza kujivunia.
Kama unablogu tunaomba uweke tangazo la kuwafahamisha watu kuhusu ombi la mchango wao wa mawazo hapa ili liwezekuwafikia watu wengi.
http://blogutanzania.blogspot.com/
KARIBUNI WOTE!
Uongozi.
Popular Posts
-
A policeman at Mbale Central Police Station receiving a naked suspected thief, Bernard Wanja, who was marched to the station by a mob on ...
-
Alfred S. S. Mosha (Kipoo) 3 rd March 1944 – 2 nd September 1994 Time flies, days go by… it’s like you were here only yesterday. But t...
-
A Brazilian student is set to sell her virginity for a staggering $780,000 after she put it up for auction online. A man called Natsu,...
-
Na huyu ndiye bibi mwenye wajukuu aliyewashinda mabibi wenzake wote!
-
Mwandishi wetu, JF. Niliwahi kumuuliza mama yangu swali kwamba "ume weza vipi kudumu katika mahusiano kwa mda m...
No comments:
Post a Comment