Popular Posts

Wednesday, January 16, 2013

Jamaa kenda kwa Mwenyekiti wa serikali za mtaa kulalamika...


JAMAA: Mke wangu hataki kunipa unyumba hebu ongea nae, nimekuja nae.
MJUMBE: Hebu muite, we kaa nje ya ofisi niweze kumsikiliza
JAMAA: Poa mkuu
MJUMBE: Haya mama kunani tena huko mzee unamnyima unyumba?
MKE: Asubuhi naondoka nyumbani sina senti tano nachukua kibajaji mpaka kazini nikimwambia dreva sina hela, ananiuliza sasa utanilipa badae au? Mi nakubali au. Nakuwa hapo nimechelewa kazini, nikifika huko bosi anasema sasa umechelewa nikufukuze kazi au? Mi nachagua au, jioni narudi nyumbani tena mwenye kibajaji ananiuliza unalipa au? nakubali au, sasa nakuwa nimechoka mzee akitaka namnyima.
MJUMBE; Dah hiyo stori ya kusikitisha, sasa tumwambie mumeo au?

No comments: