Popular Posts

Wednesday, September 12, 2012

Today's joke...


Jamaa alienda kuposa kwa mzee mmoja. 
Mzee:Umekuja  kuposa huku  unatafuna bigji!? 
Jamaa:Natoa harufu ya sigara. 
Mzee:Yani unavuta sigara!? 
Jamaa:Vile nikitoka kilabu kulewa tu huwa napenda kutumia sigara. 
Mzee:Unalewa!? 
Jamaa:Nilianza kulewa nilipokuwa jela. 
Mzee:Yaani na kufungwa pia!? 
Jamaa:Ah niliua mtu. 
Mzee:/uh kumbe wewe muuaji!? 
Jamaa:Ah,si kuna mzee nilitaka kumposa mwanae akanikatalia,mimi nikamuulia mbali. 
Mzee:Karibu baba, unataka harusi lini? Mimi sina tabu, Mkeo huyooo.!

No comments: