Popular Posts

Tuesday, June 12, 2012

Matumaini makubwa...

Mtoto huyu (pichani) ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, akiwa na fulana iliyojaa matumaini ya kuwa rais wa baadae. Ni matumaini yetu mzazi / mlezi wake aliyemvalisha fulana hiyo anaweka jitihada za makusudi kumuwezesha kutimiza lengo / ndoto hiyo. Mungu ambariki ndoto zake zitimie... one day yes...

No comments: