Mtoto huyu (pichani) ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, akiwa na fulana iliyojaa matumaini ya kuwa rais wa baadae. Ni matumaini yetu mzazi / mlezi wake aliyemvalisha fulana hiyo anaweka jitihada za makusudi kumuwezesha kutimiza lengo / ndoto hiyo. Mungu ambariki ndoto zake zitimie... one day yes...
Popular Posts
-
As demographic data from the 2010 census starts to come in, it will show a startling trend - cities that have long been the African American...
-
Raisi wa Nigeria Umaru Yar'Adua (pichani) amefariki dunia siku ya Jumatano mwezi wa tano akiwa na miaka 58. Marehemu Yar'Adua ali...

No comments:
Post a Comment