Tanzania ya leo ni tofauti kabisa na Tanzania ya miaka ya nyuma, hasa kwa
Dar-es-salaam. Mwanamke kulala na mwanaume imekuwa ni kitu cha kawaida sana,
sio kama zamani. Zamani mwanamke kulala nae sio kazi ndogo. Utaambiwa subiri
nikafikirie, jibu wiki ijayoooooo! Pengine tungesema tatizo kwa sasa ni low
self esteem na low self confidence kwa kina dada, lakini hata huko vyuoni nako
ambako tunategemea kina dada zetu wasomi wawe tofauti, wao ndio wamepitiliza
kabisa. Hao ndio wanao ongoza kwa mambo yote ya aibu mjini DSM. Makazini ndio
usiseme, ni kawaida kwenda chooni na kusikia mke wa mtu anapiga mayowe ya
mahaba. Kwa kweli tofauti na zamani, suala la sex halina thamani tena. Kwenye
ndoa ndio kabisa, ni jambo la kawaida kwa wake za watu kulala na vidume vyao
vya zamani, hata kama huko walipoolewa kuna kila juhudi za kuwaridhisha. Swali
langu ni je, hali hii ya ngono ya ovyo ovyo na rahisi rahisi ni nani wa
kulaumiwa zaidi kati ya wanaume na wanawake? Kwani humu kumekuwa na thread
nyingi sana za kulaumu wanawake hawajatulia, mara nyingine wanaume hawajatulia,
lakini huwa hakuna mjadala wa kusaidiana kupata majibu kuhusu chanzo la tatizo
hili, hasa kwa kuzingatia kwamba huko nyuma hali haikuwa hivi.
Popular Posts
-
Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi Mh. Jeremiah Sumari hivi karibuni aliwasilisha bungeni mswada wa sheria ya mikopo inayotolewa kwa njia ya uk...
-
Sullivan Summit VIII, " The Summit of a Lifetime ," will take place in Arusha, Tanzania, June 2-6, 2008. Come join us for a truly ...
-
Scientists have been able to reach into the mind of a brain-damaged man and communicate with his thoughts. The research, carried out in the ...
-
The blonde college girl was supposed to write a short story in as few words as possible for her English. The instructions were that i...
-
Monday, 07 April 2008 By Daniel Said DAR ES SALAAM, TANZANIA – Estimates are putting Tanzania’s gold potential at 1,000 million ounces which...
-
wadau mnakubaliana nami kwamba wamependeza sana... DUH! Namzimia sana Obama na mkewe
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment