Nakumbukia enzi zangu na wadauz pale Ilala, akina Emma Kuyamba, Deo Kipaka, Marehemu Jumbe, Juma Sanga, n.k (Mwenyezi Mungu azipumzishe roho zao mahali pema peponii, amina) ilikuwa sinia likutua tuu, nyama zote mkono wa kushoto, then shughuli inaendelea. Suala la usafi sijui nini, hiyo baadae... tumewapoteza wengi sana Pius Paul (R.I.P) na wengineo... DUH!
Popular Posts
-
Mom comes to visit her son Ernest for dinner........ who lives with a girl roommate Jane. During the course of the meal, his mother couldn...
-
Mtoto wa kiume ni wa kiume tuu... tangu utoto utaona tabia zake. sasa hapo kwenye sanamu la dukani anachungulia nini?????
-
Miss Tanzania wa kwanza akipita ukumbini kweye bwalo la kuogelea ndani ya Kilimanjaro Hotel Mwaka 1967. Anaitwa Theresia Shayo. Urembo b...
-
Na Mpiga picha wetu Kanyigo, Bukoba. J.C.V. Rugemalira, The Mugyabusoz na The Shumbushoz mpo...

No comments:
Post a Comment