Nakumbukia enzi zangu na wadauz pale Ilala, akina Emma Kuyamba, Deo Kipaka, Marehemu Jumbe, Juma Sanga, n.k (Mwenyezi Mungu azipumzishe roho zao mahali pema peponii, amina) ilikuwa sinia likutua tuu, nyama zote mkono wa kushoto, then shughuli inaendelea. Suala la usafi sijui nini, hiyo baadae... tumewapoteza wengi sana Pius Paul (R.I.P) na wengineo... DUH!
Popular Posts
-
THESE amazing pictures show the moment Swaziland’s former Justice Minister Ndumiso Mamba was caught by state security agents holed up in ...
-
Bakari is a house boy who every day drinks the wine of his Boss and puts water in the bottle to replace what he drank. But the Boss having ...
-
Hii pamoja na kwamba ni zamani, bado nahisi uchungu mkubwa sana kama imetokea jana. Nawasihi ndugu zangu kwenye yafuatayo:- 1. tujihesh...
-
A n 80-year-old man goes for a physical. All of his tests come back with normal results. The doctor says, 'George, everything looks gre...

No comments:
Post a Comment