Nakumbukia enzi zangu na wadauz pale Ilala, akina Emma Kuyamba, Deo Kipaka, Marehemu Jumbe, Juma Sanga, n.k (Mwenyezi Mungu azipumzishe roho zao mahali pema peponii, amina) ilikuwa sinia likutua tuu, nyama zote mkono wa kushoto, then shughuli inaendelea. Suala la usafi sijui nini, hiyo baadae... tumewapoteza wengi sana Pius Paul (R.I.P) na wengineo... DUH!
Popular Posts
-
Jamaa alichukua simu ya GF wake, akaipigia ili aone ameseviwa kwa jina gani, alichokiona hakuamini. Alikuta jina la "MBWA KOKO JEUSI T...
-
In an alcohol factory the regular taster died and the director started looking for a new one to hire. A drunkard with ragged, dirty...
-
By John V.C. R. - DSM. One young academically excellent person went to apply for a managerial position in a big company. H...
-
Mwandishi wetu, ZNZ. Binti mmoja mrembo wa kiasi anatafuta mpenzi, ni msichana wa miaka 22 anatafuta mpenzi wa kuishi ...

No comments:
Post a Comment