Nakumbukia enzi zangu na wadauz pale Ilala, akina Emma Kuyamba, Deo Kipaka, Marehemu Jumbe, Juma Sanga, n.k (Mwenyezi Mungu azipumzishe roho zao mahali pema peponii, amina) ilikuwa sinia likutua tuu, nyama zote mkono wa kushoto, then shughuli inaendelea. Suala la usafi sijui nini, hiyo baadae... tumewapoteza wengi sana Pius Paul (R.I.P) na wengineo... DUH!
Popular Posts
-
wadau mnakubaliana nami kwamba wamependeza sana... DUH! Namzimia sana Obama na mkewe
-
Hata wanyama hawafanyi... ndio maana mbwa wanawazomea... President Barack Obama said on Wednesday that he personally supported all...
-
Mchango wako unahitajika sana wewe mwenye blogu na hata usiye na blogu ilikujenga muelekeo uliochangiwa na wengi na sio kikundi cha watu wac...
-
The marriage of an 80 year old white man and a 20 year old white woman was the talk of the town. After being married a year, the couple we...
-
1. A daughter sent a telegram to her father on passing her B.Ed exams, which the father received as "Father, your daughter has been su...

No comments:
Post a Comment