Popular Posts
-
wazungu kwa kutuharibia wa-afrika?!?!?!? sasa ndio nini kumwita 'naked baby killer' na kumwekea rangi ya mwafrika? kikosi maalum...
-
In an alcohol factory the regular taster died and the director started looking for a new one to hire. A drunkard with ragged, dirty...
-
By John V.C. R. - DSM. One young academically excellent person went to apply for a managerial position in a big company. H...
-
Wife goes to supermarket, sees m e n's briefs on sale. She buys a dozen of the same colour. Goes home and gives hubby. Hubby protests...
-
During a visit to the mental hospital, I asked the Director 'How do you determine whether or not a patient should be admitted ...
-
1. If time doesn't wait for you, don't worry! --------------- Just remove the damn battery from the clock and Enjoy life! 2. Expe...
Friday, September 30, 2016
Thursday, September 29, 2016
Thursday, September 22, 2016
Thursday, September 15, 2016
Friday, September 2, 2016
This is UNACCEPTABLE and should be FULLY CONDEMNED WORLD-WIDE!
Hii pamoja na kwamba ni zamani, bado nahisi uchungu mkubwa sana kama imetokea jana. Nawasihi ndugu zangu kwenye yafuatayo:-
1. tujiheshimu na kupendana wenyewe
2. tusomeshe watoto wetu
3. tujenge uchumi wetu na tujitegemee
namna pekee ya kuheshimiwa na watu hawa ni kujikomboa kutoka kwenywe umaskini, kujitambua, kuheshimiana na kupendana kwa sisi waafrika. Natamani kuwaona wanangu na hasa jamii nzima ya kiafrika ikiheshimika sana na kufikia hatua wazungu wachukue ushauri wetu!
kwa viongozi wanaong'ang'ania madaraka, wosia wangu kwao wawaamini wananchi wenzao, wakubali maamuzi ya wananchi na watoe ushirikiano. hili ni eneo lingine linalofanya tudharaulike sana!
Subscribe to:
Posts (Atom)