Popular Posts
-
Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi Mh. Jeremiah Sumari hivi karibuni aliwasilisha bungeni mswada wa sheria ya mikopo inayotolewa kwa njia ya uk...
-
Sullivan Summit VIII, " The Summit of a Lifetime ," will take place in Arusha, Tanzania, June 2-6, 2008. Come join us for a truly ...
-
Scientists have been able to reach into the mind of a brain-damaged man and communicate with his thoughts. The research, carried out in the ...
-
The blonde college girl was supposed to write a short story in as few words as possible for her English. The instructions were that i...
-
Monday, 07 April 2008 By Daniel Said DAR ES SALAAM, TANZANIA – Estimates are putting Tanzania’s gold potential at 1,000 million ounces which...
-
A young man and his date were parked on a back road some distance from town. They were about to have sex when the girl stopped. "I re...
Friday, September 30, 2016
Thursday, September 29, 2016
Thursday, September 22, 2016
Thursday, September 15, 2016
Friday, September 2, 2016
This is UNACCEPTABLE and should be FULLY CONDEMNED WORLD-WIDE!
Hii pamoja na kwamba ni zamani, bado nahisi uchungu mkubwa sana kama imetokea jana. Nawasihi ndugu zangu kwenye yafuatayo:-
1. tujiheshimu na kupendana wenyewe
2. tusomeshe watoto wetu
3. tujenge uchumi wetu na tujitegemee
namna pekee ya kuheshimiwa na watu hawa ni kujikomboa kutoka kwenywe umaskini, kujitambua, kuheshimiana na kupendana kwa sisi waafrika. Natamani kuwaona wanangu na hasa jamii nzima ya kiafrika ikiheshimika sana na kufikia hatua wazungu wachukue ushauri wetu!
kwa viongozi wanaong'ang'ania madaraka, wosia wangu kwao wawaamini wananchi wenzao, wakubali maamuzi ya wananchi na watoe ushirikiano. hili ni eneo lingine linalofanya tudharaulike sana!
Subscribe to:
Posts (Atom)