Popular Posts
-
" I don't know the key to success but the key to failure is trying to please everybody " Bill Cosby
-
THESE amazing pictures show the moment Swaziland’s former Justice Minister Ndumiso Mamba was caught by state security agents holed up in ...
-
Miss Tanzania wa kwanza akipita ukumbini kweye bwalo la kuogelea ndani ya Kilimanjaro Hotel Mwaka 1967. Anaitwa Theresia Shayo. Urembo b...
-
Kama kufuli la kichwani limeshindikana hayo mengine ni bure tu!!!! Soma hii... Juma alimua kusafiri kwenda mbali. Akamvika mkewe chupi ...
-
hapa rais jafar el nimeiri wa sudan akisalimiana na omar zimbwe huku mohamed chuma (shoto) na nahodha abdulrahmani w...
-
Two Prostitutes were talking.. 1st-We r in the best business in this world. 2nd-Hows that? Why? 1st-We have it, we sell it, and we Still ...
Sunday, January 27, 2013
Tuesday, January 22, 2013
Wednesday, January 16, 2013
Jamaa kenda kwa Mwenyekiti wa serikali za mtaa kulalamika...
JAMAA: Mke wangu hataki kunipa unyumba hebu ongea nae, nimekuja nae.
MJUMBE: Hebu muite, we kaa nje ya ofisi niweze kumsikiliza
JAMAA: Poa mkuu
MJUMBE: Haya mama kunani tena huko mzee unamnyima unyumba?
MKE: Asubuhi naondoka nyumbani sina senti tano nachukua kibajaji mpaka
kazini nikimwambia dreva sina hela, ananiuliza sasa utanilipa badae au? Mi
nakubali au. Nakuwa hapo nimechelewa kazini, nikifika huko bosi anasema sasa
umechelewa nikufukuze kazi au? Mi nachagua au, jioni narudi nyumbani tena
mwenye kibajaji ananiuliza unalipa au? nakubali au, sasa nakuwa nimechoka mzee
akitaka namnyima.
MJUMBE; Dah hiyo stori ya kusikitisha, sasa tumwambie mumeo au?
Tuesday, January 15, 2013
Thursday, January 10, 2013
Subscribe to:
Comments (Atom)



















