Popular Posts
-
School A place where Parents pay and children play Life Insurance A contract that keeps you poor all your life so that you can di...
-
Level of stress: you give a lift to a beautiful girl, she faints inside your car and you take her to hospital. Now that's stressful. Bu...
-
By Moses Msuya, DSM. A man once spent days looking for his new hat. Finally, he decided that he'd go to church on Sunday and sit at...
-
MAN IN A KOMBI WANTED TO IMPRESS FELLOW PASSENGERS WITH HIS PROPOSAL ANTICS, SO HE CHOSE THIS QUIET BEAUTIFUL LADY TWO SEATS BEHIND HIM FO...
-
The sexy & unique Bar at Rudy's farm, made of brick work burned RED, reclaimed dhow wood and recycled metal.... ...
Friday, April 27, 2012
Thursday, April 26, 2012
Sunday, April 22, 2012
Monday, April 2, 2012
Today's JOKE...
Dereve
mmoja kwa jina MIKE alikuwa anampeleka boss wake Airport. Njiani Boss
alikumbuka kuwa amesahau document muhimu sana hivyo alimwamrisha Mike
amrejeshe haraka nyumbani aifuate hiyo document.
Walipofika nyumbani Boss alimkuta mkewe yuko bafuni anakoga na amejipaka sabuni usoni. Kwa mapenzi mumewe alifungua mlango wa bafuni na kumshika makalio na ndipo mkewe alivpojibu,
''MIKE ushamfikisha huyo mpumbavu airport kwa haraka hivyo. Usiwe na haraka tutakuwa na raha weekend yote hii kwani tutakuwa wote LAAZIZ wangu.
Mkewe boss akaona kimya akaona kulikoni?Aliosha uso wake na mara akamwona mumewe??
Jamani kilichoendelea mimi sijui…………..Unadhani safari iliendelea?
Walipofika nyumbani Boss alimkuta mkewe yuko bafuni anakoga na amejipaka sabuni usoni. Kwa mapenzi mumewe alifungua mlango wa bafuni na kumshika makalio na ndipo mkewe alivpojibu,
''MIKE ushamfikisha huyo mpumbavu airport kwa haraka hivyo. Usiwe na haraka tutakuwa na raha weekend yote hii kwani tutakuwa wote LAAZIZ wangu.
Mkewe boss akaona kimya akaona kulikoni?Aliosha uso wake na mara akamwona mumewe??
Jamani kilichoendelea mimi sijui…………..Unadhani safari iliendelea?
Subscribe to:
Posts (Atom)