Popular Posts
-
THESE amazing pictures show the moment Swaziland’s former Justice Minister Ndumiso Mamba was caught by state security agents holed up in ...
-
A guy goes to the supermarket, and a beautiful woman smiles at him and says hello. He's rather taken aback because he can't p...
-
Q: What is the similarity between men and rats? A: Both keep searching for new holes. Q: What is the closest thing similar to a woman...
-
Miss Tanzania wa kwanza akipita ukumbini kweye bwalo la kuogelea ndani ya Kilimanjaro Hotel Mwaka 1967. Anaitwa Theresia Shayo. Urembo b...
-
By Ikunda, DSM. I recall my first time with a condom, I was 16 or so. I went in to buy a package of condoms. There was a beautiful woman ...
-
The Late Alfred "Kipoo" S. S. Mosha 3rd March 1944 - 2nd Sept 1994 . Time flies, days go by… it’s like you were with u...
-
Heri kuchapwa kofi na Mkweli.... kuliko kupigwa busu na muongo! Na Robert Kishimba...
Friday, September 30, 2016
Thursday, September 29, 2016
Thursday, September 22, 2016
Thursday, September 15, 2016
Friday, September 2, 2016
This is UNACCEPTABLE and should be FULLY CONDEMNED WORLD-WIDE!
Hii pamoja na kwamba ni zamani, bado nahisi uchungu mkubwa sana kama imetokea jana. Nawasihi ndugu zangu kwenye yafuatayo:-
1. tujiheshimu na kupendana wenyewe
2. tusomeshe watoto wetu
3. tujenge uchumi wetu na tujitegemee
namna pekee ya kuheshimiwa na watu hawa ni kujikomboa kutoka kwenywe umaskini, kujitambua, kuheshimiana na kupendana kwa sisi waafrika. Natamani kuwaona wanangu na hasa jamii nzima ya kiafrika ikiheshimika sana na kufikia hatua wazungu wachukue ushauri wetu!
kwa viongozi wanaong'ang'ania madaraka, wosia wangu kwao wawaamini wananchi wenzao, wakubali maamuzi ya wananchi na watoe ushirikiano. hili ni eneo lingine linalofanya tudharaulike sana!
Subscribe to:
Comments (Atom)












