Popular Posts
-
Raisi wa Nigeria Umaru Yar'Adua (pichani) amefariki dunia siku ya Jumatano mwezi wa tano akiwa na miaka 58. Marehemu Yar'Adua ali...
-
!!..If a single teacher can’t teach all the subjects then don't expect a single student to learn and understand all subjects..!! ak...
-
JAMAA : Mke wangu hataki kunipa unyumba hebu ongea nae, nimekuja nae. MJUMBE : Hebu muite, we kaa nje ya ofisi niweze kumsikiliza ...
-
Emily Mabou , 29-year-old woman from Ghana has married to her 18-month-old Dog . I think anyone have always longed for an ideal figur...
-
A policeman at Mbale Central Police Station receiving a naked suspected thief, Bernard Wanja, who was marched to the station by a mob on ...
-
Dear Dolly I have a serious problem now. I hope you will assist. The day before yesterday for once in life I tried something naughty. I...
Friday, September 30, 2016
Thursday, September 29, 2016
Thursday, September 22, 2016
Thursday, September 15, 2016
Friday, September 2, 2016
This is UNACCEPTABLE and should be FULLY CONDEMNED WORLD-WIDE!
Hii pamoja na kwamba ni zamani, bado nahisi uchungu mkubwa sana kama imetokea jana. Nawasihi ndugu zangu kwenye yafuatayo:-
1. tujiheshimu na kupendana wenyewe
2. tusomeshe watoto wetu
3. tujenge uchumi wetu na tujitegemee
namna pekee ya kuheshimiwa na watu hawa ni kujikomboa kutoka kwenywe umaskini, kujitambua, kuheshimiana na kupendana kwa sisi waafrika. Natamani kuwaona wanangu na hasa jamii nzima ya kiafrika ikiheshimika sana na kufikia hatua wazungu wachukue ushauri wetu!
kwa viongozi wanaong'ang'ania madaraka, wosia wangu kwao wawaamini wananchi wenzao, wakubali maamuzi ya wananchi na watoe ushirikiano. hili ni eneo lingine linalofanya tudharaulike sana!
Subscribe to:
Comments (Atom)












