Popular Posts
-
THESE amazing pictures show the moment Swaziland’s former Justice Minister Ndumiso Mamba was caught by state security agents holed up in ...
-
A guy goes to the supermarket, and a beautiful woman smiles at him and says hello. He's rather taken aback because he can't p...
-
Q: What is the similarity between men and rats? A: Both keep searching for new holes. Q: What is the closest thing similar to a woman...
-
Miss Tanzania wa kwanza akipita ukumbini kweye bwalo la kuogelea ndani ya Kilimanjaro Hotel Mwaka 1967. Anaitwa Theresia Shayo. Urembo b...
-
By Ikunda, DSM. I recall my first time with a condom, I was 16 or so. I went in to buy a package of condoms. There was a beautiful woman ...
-
The Late Alfred "Kipoo" S. S. Mosha 3rd March 1944 - 2nd Sept 1994 . Time flies, days go by… it’s like you were with u...
-
Heri kuchapwa kofi na Mkweli.... kuliko kupigwa busu na muongo! Na Robert Kishimba...
Friday, April 27, 2012
Thursday, April 26, 2012
Sunday, April 22, 2012
Monday, April 2, 2012
Today's JOKE...
Dereve
mmoja kwa jina MIKE alikuwa anampeleka boss wake Airport. Njiani Boss
alikumbuka kuwa amesahau document muhimu sana hivyo alimwamrisha Mike
amrejeshe haraka nyumbani aifuate hiyo document.
Walipofika nyumbani Boss alimkuta mkewe yuko bafuni anakoga na amejipaka sabuni usoni. Kwa mapenzi mumewe alifungua mlango wa bafuni na kumshika makalio na ndipo mkewe alivpojibu,
''MIKE ushamfikisha huyo mpumbavu airport kwa haraka hivyo. Usiwe na haraka tutakuwa na raha weekend yote hii kwani tutakuwa wote LAAZIZ wangu.
Mkewe boss akaona kimya akaona kulikoni?Aliosha uso wake na mara akamwona mumewe??
Jamani kilichoendelea mimi sijui…………..Unadhani safari iliendelea?
Walipofika nyumbani Boss alimkuta mkewe yuko bafuni anakoga na amejipaka sabuni usoni. Kwa mapenzi mumewe alifungua mlango wa bafuni na kumshika makalio na ndipo mkewe alivpojibu,
''MIKE ushamfikisha huyo mpumbavu airport kwa haraka hivyo. Usiwe na haraka tutakuwa na raha weekend yote hii kwani tutakuwa wote LAAZIZ wangu.
Mkewe boss akaona kimya akaona kulikoni?Aliosha uso wake na mara akamwona mumewe??
Jamani kilichoendelea mimi sijui…………..Unadhani safari iliendelea?
Subscribe to:
Comments (Atom)


