Popular Posts
-
Raisi wa Nigeria Umaru Yar'Adua (pichani) amefariki dunia siku ya Jumatano mwezi wa tano akiwa na miaka 58. Marehemu Yar'Adua ali...
-
!!..If a single teacher can’t teach all the subjects then don't expect a single student to learn and understand all subjects..!! ak...
-
JAMAA : Mke wangu hataki kunipa unyumba hebu ongea nae, nimekuja nae. MJUMBE : Hebu muite, we kaa nje ya ofisi niweze kumsikiliza ...
-
Emily Mabou , 29-year-old woman from Ghana has married to her 18-month-old Dog . I think anyone have always longed for an ideal figur...
-
A policeman at Mbale Central Police Station receiving a naked suspected thief, Bernard Wanja, who was marched to the station by a mob on ...
-
Dear Dolly I have a serious problem now. I hope you will assist. The day before yesterday for once in life I tried something naughty. I...
Friday, April 27, 2012
Thursday, April 26, 2012
Sunday, April 22, 2012
Monday, April 2, 2012
Today's JOKE...
Dereve
mmoja kwa jina MIKE alikuwa anampeleka boss wake Airport. Njiani Boss
alikumbuka kuwa amesahau document muhimu sana hivyo alimwamrisha Mike
amrejeshe haraka nyumbani aifuate hiyo document.
Walipofika nyumbani Boss alimkuta mkewe yuko bafuni anakoga na amejipaka sabuni usoni. Kwa mapenzi mumewe alifungua mlango wa bafuni na kumshika makalio na ndipo mkewe alivpojibu,
''MIKE ushamfikisha huyo mpumbavu airport kwa haraka hivyo. Usiwe na haraka tutakuwa na raha weekend yote hii kwani tutakuwa wote LAAZIZ wangu.
Mkewe boss akaona kimya akaona kulikoni?Aliosha uso wake na mara akamwona mumewe??
Jamani kilichoendelea mimi sijui…………..Unadhani safari iliendelea?
Walipofika nyumbani Boss alimkuta mkewe yuko bafuni anakoga na amejipaka sabuni usoni. Kwa mapenzi mumewe alifungua mlango wa bafuni na kumshika makalio na ndipo mkewe alivpojibu,
''MIKE ushamfikisha huyo mpumbavu airport kwa haraka hivyo. Usiwe na haraka tutakuwa na raha weekend yote hii kwani tutakuwa wote LAAZIZ wangu.
Mkewe boss akaona kimya akaona kulikoni?Aliosha uso wake na mara akamwona mumewe??
Jamani kilichoendelea mimi sijui…………..Unadhani safari iliendelea?
Subscribe to:
Comments (Atom)


