Popular Posts
-
Alfred S. S. Mosha (Kipoo) 3 rd March 1944 – 2 nd September 1994 Time flies, days go by… it’s like you were here only yesterday. But t...
-
Na Mwandishi wetu, Nairobi. A man escapes from prison where he has been for 15 years. He breaks into a house to look for mone...
-
wadau mnakubaliana nami kwamba wamependeza sana... DUH! Namzimia sana Obama na mkewe
-
2008-05-12 09:40:58 By Adam Ihucha, Arusha Tanzania will immediat...
-
A policeman at Mbale Central Police Station receiving a naked suspected thief, Bernard Wanja, who was marched to the station by a mob on ...
-
Monday, 07 April 2008 By Daniel Said DAR ES SALAAM, TANZANIA – Estimates are putting Tanzania’s gold potential at 1,000 million ounces which...
Sunday, January 27, 2013
Tuesday, January 22, 2013
Wednesday, January 16, 2013
Jamaa kenda kwa Mwenyekiti wa serikali za mtaa kulalamika...
JAMAA: Mke wangu hataki kunipa unyumba hebu ongea nae, nimekuja nae.
MJUMBE: Hebu muite, we kaa nje ya ofisi niweze kumsikiliza
JAMAA: Poa mkuu
MJUMBE: Haya mama kunani tena huko mzee unamnyima unyumba?
MKE: Asubuhi naondoka nyumbani sina senti tano nachukua kibajaji mpaka
kazini nikimwambia dreva sina hela, ananiuliza sasa utanilipa badae au? Mi
nakubali au. Nakuwa hapo nimechelewa kazini, nikifika huko bosi anasema sasa
umechelewa nikufukuze kazi au? Mi nachagua au, jioni narudi nyumbani tena
mwenye kibajaji ananiuliza unalipa au? nakubali au, sasa nakuwa nimechoka mzee
akitaka namnyima.
MJUMBE; Dah hiyo stori ya kusikitisha, sasa tumwambie mumeo au?
Tuesday, January 15, 2013
Thursday, January 10, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)