Popular Posts
-
Jamaa mwenye suti nyeusi ni kama anasema "Daamn, she looks F****n s**y" " A kiss to all..." Wamependeza....
-
Heri kuchapwa kofi na Mkweli.... kuliko kupigwa busu na muongo! Na Robert Kishimba...
-
Real Name : Haifa Mapili DOB : 27th Nov Lives at Sala Sala, DSM. Education : B.A (C.B.E) Songs out : PAYDAY and TATAKELE Up...
-
For some it may be classed as 'three-timing', but in one Chinese city having three girlfriends is apparently seen as the norm. ...
Friday, April 27, 2012
Thursday, April 26, 2012
Sunday, April 22, 2012
Monday, April 2, 2012
Today's JOKE...
Dereve
mmoja kwa jina MIKE alikuwa anampeleka boss wake Airport. Njiani Boss
alikumbuka kuwa amesahau document muhimu sana hivyo alimwamrisha Mike
amrejeshe haraka nyumbani aifuate hiyo document.
Walipofika nyumbani Boss alimkuta mkewe yuko bafuni anakoga na amejipaka sabuni usoni. Kwa mapenzi mumewe alifungua mlango wa bafuni na kumshika makalio na ndipo mkewe alivpojibu,
''MIKE ushamfikisha huyo mpumbavu airport kwa haraka hivyo. Usiwe na haraka tutakuwa na raha weekend yote hii kwani tutakuwa wote LAAZIZ wangu.
Mkewe boss akaona kimya akaona kulikoni?Aliosha uso wake na mara akamwona mumewe??
Jamani kilichoendelea mimi sijui…………..Unadhani safari iliendelea?
Walipofika nyumbani Boss alimkuta mkewe yuko bafuni anakoga na amejipaka sabuni usoni. Kwa mapenzi mumewe alifungua mlango wa bafuni na kumshika makalio na ndipo mkewe alivpojibu,
''MIKE ushamfikisha huyo mpumbavu airport kwa haraka hivyo. Usiwe na haraka tutakuwa na raha weekend yote hii kwani tutakuwa wote LAAZIZ wangu.
Mkewe boss akaona kimya akaona kulikoni?Aliosha uso wake na mara akamwona mumewe??
Jamani kilichoendelea mimi sijui…………..Unadhani safari iliendelea?
Subscribe to:
Posts (Atom)


