Popular Posts

Friday, February 17, 2012

Enjoy the power of "WE"

Team, join WAZZUB family and enjoy the power of "WE" click the link below... 

Thursday, February 16, 2012

blackberry can make you forget!!!!!!

During valentines day, this young lady was caught busy with her phone on BBM...

Monday, February 13, 2012

Thamani ya Mapenzi Kushuka TZ - Nani wa Kumlaumu?


Tanzania ya leo ni tofauti kabisa na Tanzania ya miaka ya nyuma, hasa kwa Dar-es-salaam. Mwanamke kulala na mwanaume imekuwa ni kitu cha kawaida sana, sio kama zamani. Zamani mwanamke kulala nae sio kazi ndogo. Utaambiwa subiri nikafikirie, jibu wiki ijayoooooo! Pengine tungesema tatizo kwa sasa ni low self esteem na low self confidence kwa kina dada, lakini hata huko vyuoni nako ambako tunategemea kina dada zetu wasomi wawe tofauti, wao ndio wamepitiliza kabisa. Hao ndio wanao ongoza kwa mambo yote ya aibu mjini DSM. Makazini ndio usiseme, ni kawaida kwenda chooni na kusikia mke wa mtu anapiga mayowe ya mahaba. Kwa kweli tofauti na zamani, suala la sex halina thamani tena. Kwenye ndoa ndio kabisa, ni jambo la kawaida kwa wake za watu kulala na vidume vyao vya zamani, hata kama huko walipoolewa kuna kila juhudi za kuwaridhisha. Swali langu ni je, hali hii ya ngono ya ovyo ovyo na rahisi rahisi ni nani wa kulaumiwa zaidi kati ya wanaume na wanawake? Kwani humu kumekuwa na thread nyingi sana za kulaumu wanawake hawajatulia, mara nyingine wanaume hawajatulia, lakini huwa hakuna mjadala wa kusaidiana kupata majibu kuhusu chanzo la tatizo hili, hasa kwa kuzingatia kwamba huko nyuma hali haikuwa hivi.

The nude class...


Tuesday, February 7, 2012

Hoja ya Haja: Kwanini Wanaume Wengine Ni Waoga Wa Kutongozwa?"


Na Ikunda F. DSM.
Tusaidie. Baadhi ya wanaume ni waoga wa kutongozwa na wanawake. Hii ni kwa mujibu wa tafiti na uzoefu uliopo. Hapa kuna sababu za kijamii ikiwamo malezi, mila na desturi.
Bado inaonekana na wengi kama kitendo cha ajabu kwa mwanamke kuanza kuchukua hatua za kumtongoza mwanamme anayempenda ama kuvutiwa naye.
 
Kuna wanaume wanaoamini, kuwa jambo hilo si la ki-uanauke. Mwanamme bado anaamini kuwa jukumu la kuchukua hatua za kutongoza ni za kwake,kwamba ni yeye ndiye anayepaswa kuanza kumtongoza mwanammke. Akitongozwa anashtuka!
Inakuwaje basi,kama mwanamke atampenda ama kuvutiwa na mwanamme bila mwanamme huyo kuweza kusoma ishara za mapenzi, je, mwanamke huyo asubiri mpaka siku ile mwanamme atakapolala na kuota kuwa anapendwa na mwanamke huyo? Kazi kwako na wengine mlio tayari kuchangia. Tunasubiri maoni...

Wednesday, February 1, 2012

Today's JOKE!

A guy goes to the supermarket, and a beautiful woman smiles at him and says hello.

He's rather taken aback because he can't place how he knows her.

So he asks, "Do you know me?"

The woman says, "I think you're the father of one of my kids."

His mind travels back to the only time he has ever been unfaithful to his wife,

and he says, "My God! Are you the stri**er from my bachelor party that we had sex on the pool table with all my buddies watching?"

She looks into his eyes and calmly says, "No, I'm your son's math teacher."

The message you tried to print is protected with Information Rights Management. You don't have the necessary user rights to print the message.