Popular Posts

Thursday, December 30, 2010

Richmond - Rex - Tanesco... is this true...

Rex Attorneys huenda ikakabiliwa kashfa ya mgongano wa maslahi

Kwa mujibu wa thread iliyoanzishwa na Vuvuzela hivi leo, kampuni ya mawakili ijulikanayo kwa jina la Rex Attorneys, iliwahi kuwa mwakilishi wa Richmond Development Corporation(RDC) hapa nchini. Kama hivyo ndivyo, ni dhahiri kampuni hiyo ilikiuka miiko ya taaluma (profession misconduct), kwa kuwakilisha TANESCO katika kesi ambayo ilifunguliwa dhidi yake na kampuni iliyorithi mkataba wa mteja wake wa zamani. Nakaribisha maoni zaidi katika suala hili.
 
source: JamiiForum
 
My take: Kama hii ni kweli, basi bongo ni tambarare kwa sana tuu... na bado!
KICHWANGUMU.

Sunday, December 26, 2010

Mambo ya X-Mas

 Holiday season... wadau, muwe makini.

Saturday, December 25, 2010

Dogo na X-mas...

Dogo akijidai siku kama ya leo, sijui nani kaiweka hapo... DUH!

Thursday, December 23, 2010

AYUBAAA!!!!!

AYUBA bought a new mobile.
     He sent a message to everyone from his Phone Book & said,
     'My Mobile No. Has changed.
     Earlier it was Nokia 3310. Now it is 6610'

     ============ ========= ========= ======
     AYUBA : I am Proud, coz my son is in Medical College.
     Friend: Really, what is he studying.
     AYUBA: No, he is not studying, they are Studying him.

     ============ ========= ========= ========= ===
     AYUBA: Doctor, in my dreams, I play football every night.
     DR: Take this tablet, you will be ok.
     AYUBA : Can I take it  tomorrow, tonight is final game.

     ============ ========= ========= ========= ====
     AYUBA : If I die, will u remarry?
     Wife: No! I'll stay with my sister. But if I die will u remarry?
     AYUBA : No, I'll also stay with your sister.

     ============ ========= ========= ========= ==
     AYUBA : People consider me as a 'GOD'
     Wife: How do you know??
     AYUBA : When I went to the Park today, everybody said,
     Oh GOD! U have come again..

     ============ ========= ========= ========= ====
     AYUBA complained to the police: 'Sir, all items are missing,
     except the TV in my house.'
     Police: 'How the thief did not take TV?'
     AYUBA : 'I was watching TV news...'

     ============ ========= ========= ========= ==
     AYUBA  comes back 2 his car & find a note saying 'Parking Fine'
     He Writes a note and sticks it to a pole 'Thanks for compliment.'

     ============ ========= ========= ========= ======
     How do you recognize AYUBA  in School?
     He is the one who erases the notes from the book when the teacher erases
     the board.

     ============ ========= ========= ========= ========
     Once  AYUBA was walking he had a glove on one hand and not on other.
     So the man asked him why he did so. He replied that the weather forecast
     announced that on one hand it would be cold and on the other hand it would
     be hot.

     ============ ========= ========= ========= ========= ==
     AYUBA  in a bar and his cellular phone rings. He picks it up and
     Says 'Hello, how did you know I was here?'

     ============ ========= ========= ========= ========= ===
     AYUBA : Why are all these people running?
     Man - This is a race, the winner will get the cup
     AYUBA  - If only the winner will get the cup, why others running?

     ============ ========= ========= ========= ========= ===
     Teacher: 'I killed a person' convert this sentence into future tense
     AYUBA : The future tense is 'u will go to jail'

     ============ ========= ========= ========= ========= =====
     AYUBA told his servant: 'Go and water the plants!'
     Servant: 'It's already raining.'
     AYUBA : 'So what? Take an umbrella and go.'

Monday, December 20, 2010

Hapo Mzee mzima Philip kajamba au????

Did Philip Fart? What do you think? The expressions are priceless! Look at the Queen's face!

Thursday, December 16, 2010

Matukio kipindi cha sikukuu...

Mshahara utasubiriwa mpaka utoke... ukishapatikana tuu! ni kama ifuatavyo...


 bata kwa sanaaaaaaaaaaa..... gwede gwede mpaka lyamba!

Tuesday, December 14, 2010

Jamani tuzingatie haki za watoto...

kama wewe ni mzazi au mlezi basi yakubali majukumu yako na uyazingatie... si haki na haipendezi kumbambika mtoto mdogo kiasi hichi majukumu makubwa ya kuhudumia familia kwa kiwango hiki. kwa kweli haipendezi hata kidogo, hivi na hapa tutasema tunasubiri serikali uchukue hatua kweli???? Tubadilike, serikali ni sisi... mimi, wewe, yule na huyu! basi na kila mmoja wetu atimize wajibu wake kutokana na nafasi yake. Mtoto kama huyo pichani anapaswa aende shule, akitoka acheze kiasi na kusaidia kazi anazomudu! sio kuteseka kiasi hichi...  
'tafakari...'

Thursday, December 9, 2010

Tukumbuke tulipotoka...

Je, mnaweza kukumbuka hapa ni wapi na ilikuwa kipindi gani????

Friday, December 3, 2010

Alcohol tester...


In an alcohol factory the regular taster died and
the director started looking for a new one to hire.
 
A drunkard with ragged, dirty look came to apply for the position.
The director of the factory wondered how to send him away.  
They tested him.  
They gave him a glass with a drink. He tried it and said,
"It's red wine, a musket, three years old, grown on a north slope, matured in steel containers."  "That’s correct", said the boss.    Another glass.  "Its red wine, Cabernet, eight years old, a southwestern slope, oak barrels."  "Correct."    The director was astonished.  He winked at his secretary to suggest something.    She brought in a glass of urine. The alcoholic tried it.    "It's a blonde, 26 years old, pregnant in the third month.  And if you don’t give me the job, I’ll also tell who’s the father!"

Wednesday, December 1, 2010

Vitukozzzz...


wathungu hamnazo...!

 wazungu kwa kutuharibia wa-afrika?!?!?!? sasa ndio nini kumwita 'naked baby killer' na kumwekea rangi ya mwafrika?
 kikosi maalumu!
 wajepu nao????
 haka kamnyama vipi????
 eeh! ndio, usalama kwanza...
sawa, tumekubali...