Popular Posts

Thursday, May 27, 2010

cheka unenepe...

NO. 1
A man was so jealous of his newly born baby that he put poison on the wife's nipples while she was asleep. The next day, their driver died of poisoning.

NO.2
A man is dying of cancer, but keeps telling people he is dying of AIDS. His son asked Dad why? He answered so that when I am dead, no one will sleep with your mum.

NO.3
A lady lost three panties in her house and blamed her maid in front of the husband. Maid said sir you are my witness you know I never wear panties.

Wednesday, May 26, 2010

Organization Chart described so clearly...

When top level guys look down, they see only shit;
When bottom level guys look up, they see only assholes...
JE NI KWELI WADAU?????

Monday, May 24, 2010

Wachina noma...


Kwa hili, kama kweli wachina wameshiriki... basi sinabudi kuwavulia kofia!!!! "My hat's off to Chinese...."

Dawa za kichina noma!!!!


How old do you think I am?

A man decides to have a face-lift for his birthday. He spends $5,000 and feels really good about the results. On his way home, he stops at a newsstand and buys a paper.
Before leaving, he says to the sales clerk, "I hope you don't mind me asking, but how old do you think I am?"
"About 35," was the reply.
"I'm actually 47," the man says, feeling really happy.
After that, he goes into McDonalds for lunch and asks the clerk the same question.
The reply is, "Oh, you look about 29".
"I am actually 47."
Later, while standing at a bus stop, he asks an old woman the same question.
She replies, "I am 85 years old, and my eyesight is going. But when I was young, there was a sure way of telling a man's age. If I put my hand down your pants and play with your balls for 10 minutes, I will be able to tell you your exact age."
As there was no one around, the man thinks, What the hell and lets! her slip her hand down his pants.
Ten minutes later, the old lady says, "Okay, it's done. You are 47."
Stunned, the man says, "That was brilliant. How did you do that?"
The old lady replies, "I was behind you at McDonalds."

Enzi hizo...


















hapa rais jafar el nimeiri wa sudan akisalimiana na omar
zimbwe huku mohamed chuma (shoto) na nahodha
abdulrahmani wakishuhudia. nyuma yao ni kitwana manara 'popat'
na abdallah king kibaden mputa. hapa staazi walicheza vifua wazi
na sudan baada ya kukosekana jezi. mwalimu nyerere aliyehudhuria
mechi hii na mgeni wake hakuonekana tena mpirani toka siku hiyo....

Majina mengine bana...

Friday, May 7, 2010

Rais Obama na mkewe Michelle...

wadau mnakubaliana nami kwamba wamependeza sana... DUH! Namzimia sana Obama na mkewe

Thursday, May 6, 2010

wanaume wa shoka...

JK na Comrade Armando Guebuza (Rais wa Msumbiji)
Rais Banda wa Zambia, JK (kati) na Kamanda Robert Mugabe, kulia (Rais wa Zimbabwe huru)
JK akimkaribisha Rais Jacob Zuma wa Afrika ya Kusini

Ahksante mkutano wa dunia wa uchumi (WEF). Kufanyika kwake Tanzania tunategemea kutaifanya nchi yetu izidi kuwa tambarare...

Umaru Mussa Yar'Adua Amefariki

Raisi wa Nigeria Umaru Yar'Adua (pichani) amefariki dunia siku ya Jumatano mwezi wa tano akiwa na miaka 58. Marehemu Yar'Adua alikuwa na matatizo ya moyo pamoja na figo.

Marehemu Yar'Adua atazikwa leo siku ya Alhamisi mchana katika kijiji cha Katsina nchini Nigeria.

Yar'Adua hakujishughulisha na mambo ya siasa kama raisi wa Nigeria tangu mwezi wa kumi na moja alipokuwa ameenda kutibiwa nchini Saudia Arabia. Alirudi chini Nigeria mwezi wa pili lakini alishindwa kuendesha shughuli za kiserikali kutokana na kuumwa.

Msaidizi wa Raisi Mh. Goodluck Jonathan atashikilia madaraka mpaka mwezi wa nne, mwaka 2011 utakapofanyika uchaguzi mwingine.

Marehemu Yar'Adua alikuwa ni msomi wa kwanza kutoka cho kikuu kuchukua madaraka, alishinda uchaguzi mwezi wa nne mwaka 2007.

Yar'Adua alipewa jina la "Baba Go-Slow", kutokana na utendaji wake wa kazi.

Historia yake.

Yar'Adua, alizaliwa katika mji wa Katsina mwezi wa nane tarehe 16 mwaka 1951, alikuwa muislamu.

Ametokea katika familia yenye kufuata mchakato wa kisiasa. Baba yake alikuwa waziri na kaka yake alikuwa mtu wa pili katika serikali ya Raisi Obasanjo's toka mwaka 1976 mpaka 1979.

Alisoma katika chuo kikuu cha Ahmadu Bello University Zaria kutoka mwaka 1972 mpaka 1975 masomo ya Chemist. Amesomea masomo ya MSc toka 1978-1980.

Alianza kusomesha Chemistry kabla ya kuingia katika biashara mwaka 1980s alikuwa mkurugenzi katika kampuni ya Sambo Farms Ltd katika mji wa Katsina.

Alichaguliwa kuungoza mji wa Katsina 1999 na kuchaguliwa tena kuongoza mji huo mwaka 2003. Maremu Yar'Adua alioa mwaka 1975 alijaaliwa kupata watoto saba.
Habari kwa hisani ya Ally Muhdin wa TZ-ONE.Blogspot.com

kizazi kipya...

watoto wa kizazi kipya... ukicheza nae, naye pia anakuchezea...

Mambo ya bajeti vs kugoma!

Tuesday, May 4, 2010

The Hummer...

GARI LA UKWELI... KWA PORI HILI... NOMA!

Monday, May 3, 2010

TRANSSEXUALISM...

Leo tuangalie maradhi mengine yaitwayo Transsexualism. Mwenye maradhi haya anaitwa Transsexual (inasomwa Trans - sekshual). Mgonjwa huyu huwa na tamaa ya kuwa na jinsia tofauti na ile aliyonayo, kwa mfano, mwanaume anatamani kuwa mwanamke, na mwanamke anatamani kuwa mwanaume.

Wagonjwa wa Transsexual hufikia kiwango cha kutaka kubadilishwa maumbo yao, hata kwa njia ya operesheni au kwa kutumia madawa yanayoweza kubadilisha hali zao za asili.

Kule Ulaya na Marekani, na sehemu nyingine zinazofuata nyayo za "maendeleo", ambako watu wamekubuhu katika fani ya ufuska, baadhi ya watu wamediriki kwenda hospitali na kufanyiwa operesheni kuondolewa sehemu zao za viungo zinazowanasibisha na jinsi yao asilia.

Katika jamii yetu, japo hakuna hospitali za kubadilisha jinsi za watu, wapo wanaume wanaoonyesha silka za kike katika maisha yao. Mfano hai ni pale tunapowaona watu waliopewa majina ya "anti" fulani, au wale wanaoshiriki katika ngoma za "kibao kata". Hawa ni wagonjwa mahututi.

Maradhi haya hupenyeza vile vile hadi kuingilia majukumu ya kijinsia. Kwa mfano, katika jamii yoyote ya watu waungwana, mahusiano ya ndoa huwa baina ya watu wenye jinsia tofauti, lakini tunasikia na kusoma kwenye vyombo vya habari kwamba kule Ulaya, kwenye maendeleo wanaume kwa wanaume wanafunga ndoa, tena Kanisani; na vile vile mahusiano ya wanawake kwa wanawake (Lesbianism) ni jambo la kawaida lililopewa kibali na mamlaka ya nchi.

Katika hali ya kimaumbile, viumbe hutofautiana kijinsia katika hali tatu tofauti, ambazo kitaalamu zinaitwa gender. Kuna viumbe vyenye hali ya kiume (Masculine gender), vyenye hali za kike (feminine gender) na vyenye hali haidi, yaani isiyo ya kike wala ya kiume (neutral gender). Transsexualism ni hali ya mtu kujibadilisha (kifikra au kifizikia) kutoka katika hali yake ya kijinsia ya asilia, na kujifanya kuwa na hali nyingine. Hivyo, hata kujitoa katika hali ya kike au ya kiume na kujiweka katika hali haidi (isiyo ya kike wala kiume) pia ni Transsexualism.

Wapo wanawake, kwa mfano, waliotoka katika hali yao ya kike (feminine gender) na kuwa haidi (neutral). Hawa wamefikia hali hii baada ya kuielewa vibaya dhana ya "ukombozi wa mwanamke".

Dhana hii ya "ukombozi wa mwanamke" ni dhana nzuri, kwani ni kweli wapo wanawake wengi wanonyanyaswa, kuonewa na kudhulumiwa kutokana na mila na mienendo ya jamii zao, lakini dhana ya "usawa" imewafanya wanawake wengi kutaka kuwa "sawa" na wanaume hata kimaumbile.

Jamii za kinyonyaji zimechukua fursa (advantage) ya propaganda ya "usawa" wa wanawake na wanaume kwa kumtaka mwanamke amenyeke katika kazi sawa na wanaume bila ya kujali maumbile yake. Sasa hivi katika jamii yetu kumeletwa miradi mbalimbali, eti ya kuwakomboa wanawake, na kumeenezwa vitengo vinavyoshughulikia "mitandao" ya kijinsia, lakini ukweli wa mambo ni kwamba nchi hizo hizo zinazotaka kuleta ukombozi ndizo hizo zilizoleta ukoloni na zinatuletea ukoloni mamboleo, na ndizo hizo hizo zinatuletea dhana ya "ukombozi". Mimi sioni ukombozi unaofanyika zaidi ya kuwatia wanawake maradhi, hasa haya ya kisaikolojia kama vile Exhibitionism (wendawazi), Lesbianism (usagaji) na haya maradhi ya wanawake kutaka kuwa sawa na wanaume ambayo tunayaita kichaa cha kijinsia. Maradhi yanayosumbua nchi zao, na kuziparaganyisha familia zao wanaya leta huku kwetu.

Sehemu nyingi za kikazi zilizokuwa mahsusi kwa wanaume sasa hivi zimeshikwa na wanawake, na jamii hizi zianzowafanyisha kazi wanawake sambamba na wanaume, chini ya nembo ya "usawa", hujisifia kuwa na idadi kubwa ya wanawake maofisini na viwandani, lakini watu, hata wanawake wenyewe, wamesahau kuwa mwanamke ana kazi kubwa ambayo katika Uislamu huhesabika kama Jihaad.

Dunia leo ina mamilioni na mamilioni ya watu. Kila mwanaadamu unayemuona anatembea katika mgongo wa ardhi ni lazima alimtesa mwanamke. Mwanamke alimbeba binaadamu huyu tumboni mwake, kwa tabu na mashaka makubwa, kwa muda wa miezi tisa, na siku ya kujifungua, mwanamke alipata uchungu mkubwa unaosemekana kuwa unakaribia uchungu wa kutoka roho (na wanawake wengine hufa kwa uchungu huu).

Baada ya hapo, mtoto anakuwa akitegemea kumnyonya mama yake kwa zaidi ya mwaka mmoja. Huyu mwanamke pia anakuwa mwalimu wa kwanza wa binaadamu. Ukifikiria yote haya ndipo inakuwepo hoja kuwa, mwanaume, ambaye hapati tabu katika mahusiano yake na mwanamke, zaidi ya raha za kimapenzi, inabidi yeye ndiye ahenyeke kwa uchungu na ugumu wa kazi za uzalishaji mali katika jamii, lakini mtu anang’ang’ania wanawake wawe sawa na wanaume katika uzalishaji mali, wakati yeye mwanaume hawezi kuwa sawa na wanawake katika uzalishaji watu.

Kwa vile wanawake wamevamia uwanja wa uzalishaji mali sawa na wanaume, basi wengi wao wanaona iko haja ya kuepuka jukumu lao la kuzaa watoto, ili waweze kufanya kazi kwa nafasi, sawa na wanaume. Basi wanawake hawa hukwepa uzazi (asili yao) kwa kuzuia mimba, kunyofoa mimba au kuua watoto, maana wasiposhika mimba kama wanaume wasivyoshika mimba ndio watakuwa wachapakazi wazuri. Matokeo yake, wanawake wanatoka kwenye uanauke na kuwa hawawezi kuwa wanaume, wanabakia kuwa haidi (neutral).

Kwa vile wanaume nao eti wanachangia sana katika "kuharibu" ufanisi wa wanawake, nao wanapigwa propaganda hadi wanakubali kufungwa kizazi. Utakuta mwanaume anafunga kizazi, eti kwa kuogopa "kumuathiri" mke wake. Basi mwanaume huyu naye huenda hospitali, akaonyoosha miguu, na wanaume wenzake wakamuondoa uwezo wake wa kuzaa. Anakubali kuwa haidi. Mwanaume anayejitoa uanaume kwa kuogopa kumzalisha mwanamke, ni wa ajabu sana. Kwa vile anajibadilisha kuwa haidi, basi na yeye anakuwa ni Transsexual, kwa vile kajitoa silka ya uume (masculinity) akajitia au akatiwa uhaidi (neutrality).

Kuna suala la kuwa na mke zaidi ya mmoja, ambalo pia hupigiwa kelele. Eti watu hung’ang’ania usawa, mume mmoja kwa mke mmoja (one-to-one-function). Suala la kuzingatia hapa ni kwamba, kuhusu uzazi, mwanamke ana uwezo wa kushika mimba ya mwanaume mmoja tu kwa mwaka mzima (miezi tisa ya kubeba mimba na angalau miezi mitatu ya kunyonyesha kabla ya hali ya kubeba mimba nyingine haijawa tayari). Lakini mwanaume, katika mwaka huo mmoja ana uwezo wa kuwapa mimba wanawake wengi mno. Mwanaume mwenye nguvu anaweza kuwapa mimba hata wanawake watatu kwa siku moja.

Lakini tumchukue mwanaume dhaifu, ambaye anaweza kumpa mimba mwanamke mmoja kila siku, ambaye yuko katika hali ya kuweza kushika mimba. Kwa hiyo, kwa wiki anaweza kuwapa mimba wanawake saba. Kwa mwezi wanawake 28. Kwa hiyo kwa mwaka, kama kila mwanamke atakayekutana naye atakuwa katika siku muafaka, ataweza kuwapa mimba wanawake 330 (28 mara miezi 12).

Hivyo kinadharia, kama kungekuwa na kazi maalum ya kuzaa ili kuijaza watu jamii fulani yenye hatari ya kutoweka, basi mwanaume mmoja anahitaji wanawake 330 kwa mwaka, wakati mwanamke mmoja anahitaji mwanaume mmoja tu kwa mwaka. Sasa kutaka mwanaume awe na mke mmoja tu, hata kama kuna sababu ya kuongeza mwingine, angalau mmoja ni kubadilisha jinsi ya mwanaume . Na hii ni kumgeuza Transsexual. Kimaumbile, mwanaume anahitaji zaidi ya mke mmoja, ibaki matashi yake tu na sababu nyingine za kiuwezo.

"Usawa" na uwepo, lakini tusibadili asili ya maumbile ya mtu. Shetani hupenda kuwashawishi watu wabadilike kinyume na Mwenyezi Mungu anavyowataka wawe, ndio maana akasema:

"Na nitawapoteza na nitawatumainisha na nitawaamrisha (ninavyotaka mimi) ... na nitawaamuru, nao watabadili umbile la Mwenyezi Mungu (alilowapa)..."
Qur’an 4:119

Waislamu tunatakiwa tuwe na msimamo wa Nabii Mussa, alipomjibu Firauni, kwa kumwambia:

"Mola wetu ni yule aliyekipa kila kitu umbo lake kisha akakiongoza (kufuata kinachoafiki umbo lake hilo)".
Qur’an 20:50